Wednesday 4 November 2015

NAMNA YA KUWEZA KUPATA MTOTO WA JINSIA UNAYOITAKA.

NAMNA YA KUWEZA KUPATA MTOTO WA JINSIA UNAYOITAKA.
Mimi si mtaalam sana ila kutokana na mtu aliyeniuliza inbox nitajibu kwa jinsi ninavyoelewa mimi.
Ifahamike kuwa mbegu za kiume huishi si zaidi ya masaa matatu na huwa na mkia mrefu unaoziwesha kusafiri kwa haraka, na mbegu za kike huishi zaidi ya masaa 18 na huwa na mikia mifupi ambayo huzi fanya zisafiri polepole. Kwa hiyo tunatumia advantage hiyo kumpata mtoto wa jinsia tunayoitaka endapo utataka mtoto wa jinsia ya kiume unachotakiwa ni sex siku ya hatari(siku ambayo ovulation inafanyika kwa wanawake wenye mzunguko wa hedhi wa kawaida ni siku ya 14) mki sex siku hiyo kuna huwezekano mkubwa wa kupata
mtoto wa jinsia ya kiume kwasababu mbegu za kiume husafiri kwa haraka nakukutana na yai(ovu) na kutunga mimba. Ikiwa kama mtataka mtoto kike mnatakiwa kusex siku 1(au masaa zaidi 12) kabla ya siku ya hatari kwani mbegu za kike huishi kwa muda mrefu(na mbegu
za kiume zitakuwa zimekufa) kutakuwa na uwezekano mkubwa wa kupata mtoto wa kike.
Kwanza ni vizuri kumtanguliza mungu. Nadhani utakuwa umepata idea zakukusaidia nakutakia ndoa yenye furaha na upendo.

No comments:

Post a Comment